Friday, April 30, 2010

LEO NI SIKU YA KUZALIWA MALIKIA BEATRIX WA NEDERLANDS




Mnamo tarehe 31, 1938 at Palies Soestdijk Princess Beatrix wa Nederlands alizaliwa, na yeye ndio mtoto wa mwanzo katika familia ya prencess Juliana and Prince Bernhard.

Jina lake kamili anaitwa Beatrix Wilhelmina Armgard of Orange-Nassau, na wazazi wake waliamua kumpa jina la Beatrix, ambalo maana yake halisi ni Furaha.

Prince Beatrix baadae alipata ndugu watatu ambao ni pamoja na Irene ambae alizaliwa mwaka 1939, Margriet aliyezaliwa mwaka 1943 na Mary aliyezaliwa 1947).

Miaka miwili na nusu baada ya Beatrix kuzaliwa Wajerumani walivamia Nederlands pamoja na Belgium mnamo tarehe 10 may 1940 katika vita vikuu vya pili vya Dunia, ambapo Beatrix na ndugu zake walikimbizwa na kupelekwa Canada ambako walipewa hifadhi kutokana na vita hivyo vya pili vya Dunia, na huko Canada ndiko ndugu yake wa pili Margriet alikozaliwa kwenye mwaka 1943, na baadae walirejea Nederlands katika kijiji cha Palies soestdijk mjini Baarn.

Mnamo mwaka 1956 baada ya kumaliza masomo yake ya sekondari Beatrix alihama Baarn na kuhamia Leiden, ambako aliendelea na masomo ya chuo kikuu katika fani ya sociology na history,

Licha ya uchunguzi uliofanywa na Serikali kuhusu mchumba wa Beatrix ambae ni Mjerumani aliyetuhumiwa kuwa mfuasi wa Hitler,mnamo tarehe 10 machi 1966 Beatrix na Claus walifunga ndoa huko Amsterdam, ambapo watu walianadamana na kupiga mabomu kwa kupinga ndoa hio.

Licha ya migongano iliyotokea kati ya Wanederands na Claus, baadae Wanederlands walikubaliana na hali halisi na hatimae walimkubali Claus, na hatimae wawili hao walifanikiwa kupata watoto watatu, Willem-Alexander ambae alizaliwa mwaka 1967, Johan Friso aliyezaliwa mwaka 1968 na Constantine aliyezaliwa mwaka 1969.

Mnamo tarehe 30 April 1980 Beatrix alitawazwa rasmin kuwa mtawala wa Nederlands, na katika sherehe za uzinduzi zilizofanyika Dam huko Amsterdam kulitokezea mapigano ya wananchi kufuatia hali mbaya ya uchumi iliyokua ikiikabili Nederlands kwa wakati huo lakini polisi walifanikiwa kuwatawanya waandamanaji na watu wengi walilazwa spitali.

Mnamo mwaka 1981 Beatrix alihamia Den Haag (The Hague) yeye na familia yake kwenye Palace ya Huise ten Bosh ambayo iko mjini Den Haag, ambapo baadae alifanikiwa kuuuinua uchumi wa Nederlands.

Kutokana na afya ya Prince Claus kudhoofika kutokana na ugonjwa aliokua nao wa kensa mnamo tarehe 6 Octoba 2002 alifariki dunia katika spitali ya Academic Medical Centre huko Amsterdam, na katika mwaka 2004 wazazi wote wawili wa Beatrix walifariki dunia.

. Soma Zaidi ...

REST IN PEACE!!!!!!!!!!!!

Soma Zaidi ...

UBELGIJI NI NCHI YA MWANZO ULAYA KUPIGA MARUFUKU VAZI LA BURQA

Ubeligiji ni nchi ya kwanza ya Ulaya kupiga marufuku mavazi ya burqa na niqab yanayofunika nyuso.

Siku ya Alkhamisi,
wabunge kwa kauli moja walipitisha sheria inayopiga marufuku mavazi ya Kiislamu yanayoficha kabisa nyuso za wanawake hadharani.

Lakini haijulikani lini sheria hiyo itaanza kufanya kazi. Ubeligiji hivi sasa, inakabiliwa na mgogoro wa ndani wa kisiasa na uchaguzi mpya.

Sheria kama hiyo inajadiliwa pia nchini Ufaransa na Uholanzi huku sauti zikizidi kupazwa nchini Austria,Denmark na Uswisi kutaka sheria kama hiyo.



.
Soma Zaidi ...

Wednesday, April 28, 2010

MAHARAMIA WASHUKIWA KUFIKISHWA MAHAKAMANI LEO MAREKANI

Watuhumiwa 11 wa uharamia kutoka Somalia , wanaoshtakiwa kwa mashambulio mawili tafauti dhidi ya manowari mbili za Marekani nje ya pwani ya Afrika, wanatarajiwa kufikishwa katika mahakama ya mjini Virginia nchini Marekani leo.

Washtakiwa watatakiwa kujibu mashtaka ya uharamia na umilikaji silaha ambapo wanakabiliwa na kifungo cha maisha pindi wakipatikana na hatia.

Watano kati yao walikamatwa mwishoni mwa mwezi uliopita baada ya manowari ya Kimarekani USS Nicholas kufyatuliana risasi na mashua ilioshukiwa kuwa ya maharamia, magharibi mwa Seychelles, nje ya pwani ya Afrika mashariki.

Wengine sita, walikamatwa walipoanza kuifyatulia risasi manowari ya USS Ashland tarehe 10 mwezi huu iliokuwa imeteremsha nanga kiasi ya kilomiata 600 nje ya mwambao wa Djibouti.

. Soma Zaidi ...

OCEAN VIEW YAPAA LIGI YA ZANZIBAR


BAO pekee la Nassor Ali, limeiwezesha timu yake ya Zanzibar Ocean View kuibuka na ushindi katika mchezo wa ligi kuu ya Zanzibar dhidi ya vibonde wa ligi hiyo, Konde Star.

Zanzibar Ocean View sasa imechupa kutoka nafasi ya tatu hadi ya pili katika msimamo wa ligi na kuwashusha mabingwa watetezi Mafunzo.

Mafunzo yenye pointi 15 ilikuwa ikikamata nafasi ya pili mbele ya vinara KMKM wenye pointi 18, lakini kwa ushindi wa juzi dhidi ya Konde umeifanya Zanzibar Ocean View kufikisha pointi 17.

Katika mchezo huo uliopooza na kuhudhuriwa na mashabiki wachache ilishuhudiwa timu ya Konde ikiendelea kugeuzwa kapu la magoli.

Zanzibar Ocean View hivi karibuni ilijipatia pointi za mezani baada ya Chama cha soka Zanzibar ( ZFA) kuipa pointi tatu kufuatia rufani yake iliyoikatia Miembeni kupita, hivyo inazidi kujisogeza katika kinyang'anyiro cha timu zinazogombea ubingwa wa soka Zanzibar msimu huu.

Konde ambao nao wamepanda daraja msimu huu, hadi sasa ikiingia mzunguko wa pili wa ligi hiyo ipo katika hatihati ya kubaki katika ligi mwakani kutokana na kufanya vibaya kwenye mechi zake.

Timu hiyo hadi sasa ina pointi tano katika mechi 12 ilizocheza.

.
Soma Zaidi ...

WAZIRI WA KWANZA WA KIISLAM NCHINI UJERUMANI AAPISHWA


Waziri wa kwanza wa Kiislamu nchini Ujerumani ameapishwa kuwa waziri wa masuala ya jamii katika serikali ya jimbo la Lower Saxony.

Mwanasheria Aygül Özkan mwenye asili ya Kituruki, aliteuliwa kwa kauli moja na chama cha Christian Demokratik CDU na cha kiliberali FDP katika jimbo hilo.

Siku chache zilizopita Özkan mwenye umri wa miaka 38, alizusha hasira aliposema kuwa misalaba haipaswi kuwepo katika shule za serikali. Jumatatu alibadili kauli hiyo.

Mbali na Özkan, wanachama wengine watatu wa CDU vile vile wameapishwa kushika nyadhifa za waziri katika jimbo hilo.

Tangu ulipopatikana muungano wa Ujerumani miaka ishirini iliyopita, kwa mara ya kwanza ameteuliwa Mjerumani kutoka mashariki kuwa waziri katika serikali ya jimbo la magharibi.

Bibi Johanna Wanka ataiongoza wizara ya sayansi katikaserikali ya jimbo la Lower Saxony.

.
Soma Zaidi ...

RAIA 14 WAUAWA KATIKA MAPAMBANO YALIYOZUKA MOGADISHU SOMALIA

Kwa mujibu wa shirika la habari la AP, hadi raia 14 wameuawa na wengi wengine wamejeruhiwa nchini Somalia katika mapambano yaliyozuka kufuatia shambulio la kujitolea muhanga lililofanywa na waasi katika mji mkuu Mogadishu.

Watu 4 walijeruhiwa katika shambulio hilo,nje ya kambi ya vikosi vya Umoja wa Afrika. Miongoni mwa majeruhi hao ni wanajeshi 2 wa Umoja wa Afrika.

Vikosi vya usalama kutoka Uganda na Burundi vinaisaidia serikali ya Somalia na vinalinda vituo muhimu kama vile uwanja wa ndege na bandari.

Tangu mwanzoni mwa mwaka 2007, waasi wanapigana dhidi ya serikali ya Somalia inayoungwa mkono na nchi za magharibi.

Sasa makundi ya waasi hao yanadhibiti sehemu kubwa ya maeneo ya kusini na katikati ya Somalia, wakati serikali ikiwa katika eneo dogo la mji mkuu.

Hadi raia 21,000 wameuawa tangu uasi huo ulipoanza nchini Somalia.


. Soma Zaidi ...

Ushahidi wa Vitambulisho vya wakaazi hewa wa Zanzibar

Kitambulisho cha Msumbiji upande wa mbele
Kitambulisho cha Msumbiji upande wa nyuma
Kitambulisho cha Zanzibar upande wa mbele
Kitambulisho cha Zamznibar upande wa nyuma


Kumekuwa na malalamiko ya muda mrefu kuwa Wazanzibari wanaostahiki kupewa Vitambulisho vya Mzanzibari Mkaazi ZAN ID wananyimwa na badala yake wasiofaa kama vile wazaliwa na waakazi wa Tanzania Bara na hata nje ya Tanzania wanapewa.

Wazanzibari hutakiwa kuwa na Cheti cha Kuzaliwa, kupitia kwa Sheha mpaka apate kitambulisho cha Mzanzibari, lakini wageni wanabebwa na kujua njia za kufanya na kupata vitambulisho ambavyo hatimae vinawewezesha kuwa wapiga kura na kuingia katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura DKWK.

Uchunguzi umefanikiwa kupata raia wa Msumbiji akiwa na kitambulisho cha upigaji kura cha nchi ya Msumbiji ikimaanisha kuwa ama ni raia wa nchi hiyo au ni mpira kura, lakini pia akiwa na kitambulisho cha Mzanzibari ambacho kitamuwezesha pia kuwa mpiga kura hapa Zanzibar.

Kwa sasa Tanzania hairuhusu kuwa na uraia wa nchi mbili.

Ushahidi upo kwenye picha, bonyeza picha na tumia mishalle kunavigate kwenye kulia na kushoto kujionea mwenyewe

Shukurani za dhati ziende kwa:

* Mhe Salim Bimani
* Hassan Abdillah Masoud
* Ally Saleh
* Na wote walioshiriki kufanikisha makala hii


***MZALENDO.NET


. Soma Zaidi ...

Tuesday, April 27, 2010

MFALME WA UBELGIJI AKUBALI BARUA YA KUJIUZULU KWA LETERME


Mfalme wa Ubeligiji Albert wa Pili ameipokea barua ya kujiuzulu kwa serikali ya Waziri Mkuu Yves Leterme.

Lakini kwa sasa serikali itaendelea kufanya kazi. Uchaguzi mpya unatazamiwa kufanywa mwanzoni mwa mwezi wa Juni.

Serikali hiyo imeshindwa kumaliza mgogoro unaoendelea kati ya Wabeligiji wanaozungumza Kifaransa na wale wanaotumia lugha ya Kiholanzi, kuhusu njia ya kugawa mikoa ya uchaguzi katika eneo la Brussels.

Hapo awali Mfalme wa Ubeligiji alikataa kupokea barua ya kujiuzulu kutoka kwa waziri mkuu.

Amesema mzozo huo wa serikali unaweza kuathiri wadhifa wa Ubeligiji katika Umoja wa Ulaya. Nchi hiyo inatazamiwa kushika wadhifa wa urais katika Umoja wa Ulaya tarehe mosi mwezi Julai.

.
Soma Zaidi ...

UGIRIKI YATAKA MSAADA WA UMOJA WA ULAYA NA IMF

Ugiriki inahitaji msaada wa dharura wa fedha, ama sivyo serikali itashindwa kulipa madeni yake

Waziri wa Fedha wa Ugiriki, Giorgos Papakonstantinou alitamka hayo katika hotuba yake bungeni mjini Athens.

Amesema,deni la Euro bilioni 9 linapaswa kulipwa na serikali ifikapo tarehe 19 mwezi Mei.

Wakati huo huo vyombo vya habari nchini Ugiriki vimeripoti kuwa waziri Papakonstantinou alizungumza kwa simu pamoja na Kansela wa Ujerumani Angela Merkel, lakini havikueleza yale yaliyojadiliwa.

Hata hivyo mjini Berlin, Kansela Merkel na waziri wa fedha Wolfgang Schäuble wamesisitiza kuwa uamuzi wa msaada huo utapitishwa baada ya kukamilishwa majadiliano yanayofanywa kati ya Kamisheni ya Ulaya, Shirika la Fedha la Kimataifa- IMF na serikali ya Ugiriki.

Mpango unaojadiliwa unahusika na mikopo ya dharura ya hadi Euro bilioni 45.Umoja wa Ulaya unatazamiwa kutoa Euro bilioni 30 huku Ujerumani pekee ikichangiaa Euro bilioni 8.4. Na Euro bilioni 15 zingine zitatoka kwa IMF.


. Soma Zaidi ...

Monday, April 26, 2010

BASHIR ACHAGULIWA RAIS SUDAN


Omar Hassan al-Bashir ametangazwa kuwa mshindi wa urais nchini Sudan katika uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi uliofanyika nchini humo mwanzoni mwa mwezi huu.

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi nchini humo, Abel Alier ametangaza matokeo leo na kuongeza kuwa al-Bashir ameshinda kwa asilimia 68 ya kura.

Katika upande mwingine wa nchi hiyo eneo la Sudan Kusini lenye utawala wa ndani kiongozi wa eneo hilo Salva Kiir ametangazwa rais wa eneo hilo.

Akitangaza ushindi huo, Bwana Alier amesema kuwa Kiir ameshinda kwa kupata asilimia 92.2 ya kura zilizopigwa eneo la kusini mwa Sudan.

Bwana Kiir pia atachukua nafasi ya makamu wa kwanza wa rais wa Sudan katika serikali ya muungano wa kitaifa kati ya kaskazini na kusini.

Uchaguzi huo wa Sudan umefanyika kabla ya kura ya maoni upande wa kusini mwezi Januari mwakani juu ya mustakbali wa eneo hilo kama linataka kujitenga au kubakia sehemu ya Sudan.


. Soma Zaidi ...

MIAKA 26 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR

Leo, tarehe 26 April, Tanzania inaadhimisha miaka 46 tangu kuundwa Muugano wa nchi mbili zilizokuwa huru, Tanganyika na Zanzibar.

Kuzaliwa kwa Tanzania kulijiri katika wakati wa kusisimua wa kumalizika ukoloni katika nchi nyingi za Afrika na kuchomoza hisia za kutaka Umoja wa Bara zima la Afrika, na hata Afrika nzima iwe na serikali moja.

Mmoja kati ya mashahidi wa kuzaliwa Muungano wa Tanzania ni Hassan Nassor Moyo, aliyekuwemo katika serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, mapinduzi yaliofanyika miezi mitatu tu kabla ya kuundwa Muungano huo; na pia akatumikia serikali ya Muungano baadae.

Othman Miraji alizungumza naye na kumuuliza kwanza kile kilichowachochea watu waliouasisi Muungano huo, marehemu marais wa Tanganyika na wa Zanzibar, Julius Nyerere na Abedi Karume, kuja na wazo hilo...


. Soma Zaidi ...

AMSTERDAM CENTRAAL LEO HII

Pantoni la kwendea Amsterdam Noord ambako usafiri wake kwa kawaida ni bure
Huku ndio Amsterdam Noord ambako unavuka
Hili pantoni limefanywa ndio maegesho ya baskeli kwa upande wa nyuma wa train station
Hizi pantoni ziko nyingi na zinakwenda sehemu tofauti huko Noord
Pantoni ikiondoka kuelekea Noord
Upande wa nyuma wa station ambako ndiko kwenye usafiri wa pantoni kwenda Amsterdam Noord
Hapa ni juu kwenye platform

Jengo la station kwa mbele na hii gari ndio gari za wazee wa hapa
Hapa ni mbele kwenye kituo cha tram


. Soma Zaidi ...

Saturday, April 24, 2010

UGIRIKI YAOMBA MSAADA KUTOKA ULAYA NA IMF

Serikali ya Ugiriki inayokabiliwa na kitisho cha kufilisika, imeomba msaada kutoka kwa washirika wenzake katika kanda inayotumia sarafu ya Euro na Shirika la Fedha la Kimataifa IMF.

Waziri wa Fedha wa Ugiriki, George Papaconstantinou amesema msaada wa fedha kutoka nchi za kanda ya Euro na shirika la fedha la kimataifa , IMF upo njiani lakini utachukua siku kadhaa kabla ya kufika nchini humo.

Siku ya Ijumaa, Ugiriki ilitoa ombi kwa Umoja wa Ulaya na Shirika la Fedha la Kimataifa IMF, kuipatia msaada wa Euro bilioni 45 ili iweze kulipa madeni yake makubwa.

Kansela wa Ujerumani, Angela Merkel. amesema, kuna masharti ya kutimizwa. Kwanza, mpango unaoaminika kupunguza matumizi, ujadiliwe kati ya Ugiriki, Kamisheni ya Ulaya na Shirika la Fedha la Kimataifa. Pili, mpango huo utakapowasilishwa, basi Kamisheni ya Ulaya, Benki Kuu ya Umoja wa Ulaya na Shirika la Fedha la Kimataifa lazima zitathmini ikiwa hali ya sarafu ya Euro inalazimisha kuisaidia Ugiriki."

Baada ya kutimizwa kwa masharti hayo mawili, masuala mengine kuhusu kiwango na njia ya kutoa msaada huo yanaweza kujadiliwa.

. Soma Zaidi ...

KUOMBA URAIS ZANZIBAR SHARTI KUWA NA MIL. 3/-

MWANACHAMA wa chama chochote cha siasa kilicho na usajili visiwani hapa, anayetaka kuwania urais, atatakiwa kuwa na Sh milioni tatu ili aweze kupata fomu za kuwania nafasi hiyo ya juu nchini.

Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imetangaza rasmi gharama hiyo na kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Tume hiyo, Khatib Mwinyichande, kiasi hicho kimepanda kutoka Sh milioni moja za mwaka 2005.

Alisema wagombea ujumbe wa Baraza la Wawakilishi, watachukua fomu kwa Sh 300,000, wakati wa usheha, watalipa Sh 50,000. Katika uchaguzi wa mwaka 2005, wawakilishi walilipa Sh 50,000 kwa fomu huku usheha ukilipiwa Sh 15,000 kwa fomu.

Mchakato wa kuwania urais katika uchaguzi huo Visiwani hapa, unatarajiwa kufanyika kwa siku 20 kuanzia Agosti 10 mwaka huu.

Mwinyichande alisema siku tano baadaye, itaanza ngwe nyingine, kwa ajili ya wanaowania kuingia katika Baraza la Wawakilishi. Mchakato wao unatarajiwa kuwa wa siku 15.

“Kampeni za Uchaguzi Mkuu zitaanza Septemba 10 na kufikia kikomo jioni ya Oktoba 30,” alisema Mwinyichande aliyethibitisha kwamba, uchaguzi utafanyika Oktoba 31, siku ambayo nchi nzima ya Tanzania itakuwa katika uchaguzi.

Aidha, ZEC inatarajiwa kutangaza rasmi matokeo ya uchaguzi huo Novemba 2, mwaka huu. Mwinyichande alisisitiza kwamba, ZEC iko katika harakati za kuhakikisha uchaguzi ujao unakuwa huru na wa haki.

Wakati huohuo, kundi la Wazanzibari 12 wanaojiita 'Wawakilishi wa Watu wa Zanzibar’, liliibuka jana na kushikilia msimano wa kupinga Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, wakidai kuwa “si halali na lazima utenguliwe.”

Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa, viongozi wa kundi hilo, Yussuf Mchenga, Amour Mbamba na Rashid Ahmed, walisema wanaendelea na harakati za kisheria kuhakikisha wanauvunja Muungano huo ambao keshokutwa unatimiza miaka 46.

“Barua yetu tuliyoituma Umoja wa Mataifa (UN) imepokewa rasmi, sasa tunasubiri majibu kabla ya kwenda mahakamani. “Tunataka Mamlaka husika ya UN ithibitishe uhalali wa Muungano huu au iuvunje,” alisema.

Ahmed alisema katika harakati za kufungua kesi, wanasheria wakuu wa Tanzania na Zanzibar, Katibu Mkuu wa UN kati ya mwaka 2005 na 2006, walishindwa kuonesha mkataba wa kuundwa kwa Muungano.

Hata hivyo, wasemaji hao wa kundi hilo walikataa kueleza kilichomo katika barua yao UN na hata kueleza chanzo cha fedha inayowapa jeuri ya kutaka kufungua kesi dhidi ya Muungano.

Katika hatua nyingine, wasemaji hao walimpongeza Rais Amani Karume kwa juhudi zake za kutaka kuhakikisha suala la mafuta na gesi ya asili visiwani hapa linaondolewa katika masuala ya Muungano.

. Soma Zaidi ...

Friday, April 23, 2010

SERIKALI KUONDOA GHARAMA ZA KUUNGANISHA UMEME

WIZARA ya Nishati na Madini imesema inaangalia uwezekano wa kuondoa gharama anazotozwa mwananchi wa kawaida pindi anapokwenda kuomba huduma ya kuunganishiwa umeme kutoka Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO).

Akijibu swali la nyongeza la Mbunge wa Ilemela, Athony Diallo (CCM), aliyetaka kujua serikali inachukua hatua gani za kuwapungizia wananchi mzigo huo, Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Adam Malima, alikiri kuwepo tatizo hilo na kusema serikali inaliangalia.

“Mheshimiwa Spika ni kweli kumekuwepo na malalamiko haya kwa kipindi kirefu mno, sasa umefika wakati ambao tutashauriana na mamlaka husika, ili kuondoa tatizo hili,” alisema Waziri Malima.

Alisema katika utaratibu huo, wateja wa shirika hilo wamekuwa wakitakiwa kununua waya na vitu vingine hata kabla ya kufungiwa umeme.

“Utaratibu huu umechukua muda mrefu mno, si utaratibu mzuri; unapaswa kuangaliwa upya… kwa manufaa ya Watanzania wote,” alisema Waziri Malima.

Alikuwa akijibu swali la msingi lilioulizwa na Mbunge wa Shinyanga Mjini, Dk. Charles Mlingwa (CCM) kwamba TANESCO itapeleka lini umeme katika vijiji vya Kizumbi, vitongoji vya Nhelegani na Bugayambelele.

Alisema katika maeneo hayo kuna transfoma mbili ambazo zinahudumia wateja watano tu na mashine moja ya kusaga ya Chuo Kikuu cha Ushirika.

Alisema kutokana na hali halisi iliyopo sasa ya uwezo wa serikali, haitakuwa rahisi kugharamia mahitaji yote ikiwa ni pamoja na kupeleka umeme kwenye shule za sekondari.

Alisema utaratibu uliopo ni kuainisha upelekaji au kufikisha huduma hii kwa shule pale ambapo kazi inakuwa sehemu ya mradi wa kusambaza umeme.

. Soma Zaidi ...

Wednesday, April 21, 2010

Tuesday, April 20, 2010

MILAN PLAN 20M POUNDS BID FOR BERBATOV


DIMITAR BERBATOV could end his Manchester United hell this summer - with AC Milan planning a £20million bid.

The Sun revealed last week that Old Trafford boss Alex Ferguson has lost faith in the Bulgarian hitman and is ready to offload him.

Fergie accepts he must take a loss on Berbatov, 29, who cost £30.75m but has scored just 12 goals this season, and will be tempted if Milan move in.

An AC Milan insider said: "No contact has been made yet but we admire Berbatov.

"He is a strong player who would do very well in Italy. Whether something can be arranged remains to be seen. It has been difficult for Berbatov in Manchester but he is a good player who has a lot to offer."

Serbian winger ZORAN TOSIC, who cost United £10m last year, wants to turn his loan spell at Cologne into a permanent move.


. Soma Zaidi ...

AMBALESI ZA KIBONGO

Soma Zaidi ...

Monday, April 19, 2010

Useful and handy information that you probably didn't know...


Ants Problem:

Ants hate cucumbers.

Keep the skin of cucumbers near the place or ant hole.


To get rid of mice or rats:

sprinkle black pepper in places where you find mice or rats.

They will run away.




To avoid tears while cutting onions:


Chew gum.


To remove chewing gum from clothes:

Keep the cloth in the freezer for an hour.


To avoid smell of cabbage while cooking:

Keep a piece of bread on the cabbage in the vessel while cooking.


.

Soma Zaidi ...

HISPANIA YAITISHA MKUTANO WA MAWAZIRI WA USAFIRI

Safari za anga katika bara la Ulaya bado zinaendelea kusitishwa, wakati wingu la majivu ya volcano kutoka nchini Iceland likiendelea kuathiri bara hilo.

Kwa muda mfupi jana Jumapili, safari chache zilifanyika katika viwanja vya ndege nchini Ujerumani, lakini hivi sasa safari zote nchini humo zitaendelea kusitishwa hadi saa nane mchana saa za Ulaya ya kati leo Jumatatu.

Kiasi cha nchi 30 zimefunga ama kuzuwia anga zao kutokana na hofu ya usalama wa abiria, na kuzuwia karibu wasafiri milioni saba ambao hawakuweza kusafiri duniani kote.

Hispania ambayo ni rais wa umoja wa Ulaya kwa sasa , imeitisha mkutano utakaofanyika kwa njia ya simu ya video kwa ajili ya mawaziri wa usafirishaji wa umoja wa Ulaya leo Jumatatu kutathmini hali hiyo.

Hapo mapema waziri wa Hispania anayehusika na masuala ya umoja huo amesema kuwa inawezekana kuwa nusu ya safari za anga kufanyakazi leo Jumatatu.

.
Soma Zaidi ...

TANGAZO KWA WAFUATILIAJI WA ZENYDAR



Assalaam a'laykum,

Nataraji umzima wa afya. Kwa unyenyekevu kabisa, tungependa kuwajulisha wote wanaotembelea mtandao wetu kuwa, kuanzia sasa watumie 'web address' hii: www.salamatrust.com/ badala ya www.zenjydarsalama.co.uk/.

'Web address' ya www.zenjydarsalama.co.uk/ itakuwepo kwa muda wa miezi michache ijayo, lakini tungeshauri tuanze kutumia www.salamatrust.com/ ili tupate uzoefu nayo, inshallah.

Mabadiliko haya yametokea baada ya uamuzi wa kubadili jina kuwa Salama Charitable Trust badala ya Zenjydar Salama Trust.

Inshallah Khayr.
Wabillahi tawfeeq.


--
Saleh

Salama Trust
Soma Zaidi ...

Sunday, April 18, 2010

KAMISHNA MKUU WA SHIRIKA LA WAKIMBIZI LA UMOJA WA MATAIFA


Ashuhudia zoezi la kupewa uraia wakimbizi wa Burundi ambao wamekuwa wakiishi Tanzania tangu mwaka 1972


Kamishna mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi-UNHCR, Antonio Gutteres, amemaliza ziara yake nchini Tanzania huku akishuhudia zoezi la Tanzania kuwapa uraia zaidi ya wakimbizi laki moja na elfu sitini kutoka nchini Burundi ambao wamekuwa wakiishi Tanzania tangu mwaka 1972.

. Soma Zaidi ...

Saturday, April 17, 2010

SAFARI ZA NDEGE ZIMEFMUTWA KATIKA NCHI NYINGI ZA ULAYA

Eneo kubwa la bara la Ulaya bado haliwezi kutumiwa kwa misafara ya ndege kwa sababu ya wingu kubwa la majivu lililosababishwa na mripuko wa volkano nchini Iceland.

Shirika linaloratibu safari za ndege barani Ulaya-Eurocontrol, limesema kuwa hii leo kiasi ya safari 16,000 za ndege zimefutwa kwa sababu ya wingu hilo la majivu.

Kenneth Thomas wa shirika hilo amesema wingu hilo linaendelea kusambaa.

Shirika la usalama wa anga la Ujerumani-DFS limesema anga ya Ujerumani itaendelea kufungwa hadi kesho saa nane usiku.

Maafisa wa misafara ya ndege wamesema, mashirika ya ndege yanapata hasara ya takriban euro milioni 150 kwa siku kwa sababu ya mvurugo wa safari za ndege.

Wataalamu wa volkano nchini Iceland wamesema, ionekanavyo volkano hiyo imepungua kufoka, lakini huenda ikaendelea kufoka kwa siku kadhaa zijazo au hata miezi ijayo.

. Soma Zaidi ...

REAL WANT ROONEY AND FABRIGAS


Ral Madrid are plotting a spectacular double swoop for England's crown jewels, Wayne Rooney AND Fabio Capello.

The Spanish giants will make a staggering £150MILLION raid for Rooney, offering Manchester United £90m for their prize asset and the player £250,000 a week for five years.

And they are determined to go back for highly-regarded ex-boss Capello after the World Cup.

Capello has managed Real twice before, winning La Liga on both occasions.

He is tied to England until 2012 but Real president Florentino Perez is no respecter of contracts.

Perez has a record of getting his man - as United will testify, losing David Beckham and Cristiano Ronaldo to Madrid.

Rooney, 24, and in the form of his life with 34 goals this term, has still not committed to a new contract and has only two years left on his deal.

Real will tempt him with a five-year offer worth £60m, matching Ronaldo and way beyond United's strict wage structure.

Perez is driven by the thought of restoring Rooney's devastating partnership with Ronaldo - under the no-nonsense leadership Capello brings.

Capello has hinted he could leave England when his contract with expires.

The Italian said: "I like new situations. I won't close any door."

And the different tax laws in the two countries means United would have to find an extra 25 per cent on top of anything Real offer Rooney.

In this country he will be taxed at 50 per cent but a move to Spain will cost him just 25 per cent.


. Soma Zaidi ...

Friday, April 16, 2010

RIPOTI YA UMOJA WA MATAIFA JUU YA MAUAJI YA BHUTTO

Tume huru ya Umoja wa Mataifa iliyoundwa kuchunguza kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu wa Pakistan Benazir Bhutto imetoa ripoti yake kwa kusema kuwa serikali ya wakati huo ya Pakistan, ingeweza kuzuia mauaji ya Bibi Bhutto.

Ripoti hiyo iliyoandaliwa na jopo la watu watatu wakiongozwa na Balozi wa Chile katika Umoja wa Mataifa Heraldo Munoz, iliwasilishwa jana kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki Moon.
Ripoti imesema kwamba mauaji ya bibi Bhutto yangeweza kuzuilika iwapo hatua za kutosha za kiusalama zingechukuliwa na kwamba jopo hilo lililokuwa na kazi ya kuweka wazi jambo ambalo lilitendeka na mazingira ya mauaji hayo, limesema linaamini kwamba kushindwa kwa polisi wa Pakistan kuchunguza mauaji hayo ipasavyo ilikuwa ni kile walichokiita makusudi au kwa kudhamiria, kutokana na maafisa hao wa polisi kwa kiasi fulani kuogopa kujihusisha kwa mashirika ya kijasusi, katika uchunguzi huo.
Aidha ripoti hiyo pia imesema uchunguzi huo uliofanywa na tume hiyo ya Umoja wa mataifa ulikuwa ukizuiwa vikali na mashirika ya kipelelezi pamoja na maafisa wengine ambao walikuwa wakikwamisha kutafutwa kwa ''ukweli ulio huru.''
Ripoti hiyo pia imeeleza kwamba Rais wa wakati huo Pervez Musharaff alikuwa akitambua vitisho vinavyomkabili bibi Bhutto lakini serikali yake hauchukua hatua zozote madhubuti, huku ikieleza kubaguliwa kwa Bibi Bhutto tofauti na mawaziri wengine wakuu wastaafu ambao walikuwa wakipewa ulinzi mkubwa.
Benazir Bhutto, mwanamke wa kwanza kuwa Waziri Mkuu nchini Pakistan aliuawa Desemba 27, mwaka 2007, katika shambulio la kujitoa mhanga, baada ya kuhutubia mkutano katika kampeni za uchaguzi mjini Rawalpindi, mji ambao uko karibu na mji mkuu wa nchi hiyo Islamabad.
Kifo chake hicho kilisababisha ghasia katika taifa hilo pekee la kiislamu linalomiliki silaha za nyuklia, na kwamba ghasia hizo zilimalizika baada ya mumwe bibi Bhutto Asif Ali Zardari kushinda uchaguzi wa rais nchini humo.
Ripoti hiyo lakini haikumtaja mtu wanaeamini kuhusika na mauaji hayo , lakini imependekeza kuwa uchunguzi wowote utakaostahili kufanywa, lazima uangalie wale wote waliohusika kufikiria, kupanga na kufadhili operesheni hiyo na pia wasiache kuondoa uwezekano wa kuhusika kwa jeshi la pakistan.
Ripoti hiyo ilifanikishwa baada ya kuhoji watu zaidi ya 250, kukutana na maafisa wa serikali, raia wa kawaida, raia wa kigeni wenye kuyaelewa matukio hayo pamoja na wachunguzi wa kitengo cha kupambana na ugaidi kutoka katika jeshi la polisi la Uingereza -Scotland Yard- ambao walisaidia kuchunguza mauaji hayo.
Hata hivyo kiongozi wa jopo hilo la uchunguzi la umoja wa mataifa balozi Heraldo Munoz kutoka Chile amewaambia waandishi wa habari kwamba , uchunguzi huo walioufanya, ulioanza Julai mwaka jana haukuwa uchunguzi wa makosa ya jinai. Wakati huo huo serikali ya Pakistan imesema itatoa kauli yake juu ya ripoti hiyo iliyoandaliwa na jopo lililoteuliwa na Umoja wa Mataifa baada ya kumaliza kuisoma. Mwandishi: Halima Nyanza(afp,Reuters) Mhariri: Sekione Kitojo.
.
Soma Zaidi ...

SAFARI KADHAA ZA NDEGE BARANI ULAYA ZAAKHIRISHWA

Wingu kubwa la majivu yanayotoka katika mripuko wa Volcano huko Iceland, limesababisha kuahirishwa kwa safari za ndege zipatazo elfu saba barani Ulaya.

Maelfu ya wasafiri wamekwama katika viwanja vya ndege, wakati mamlaka zikilazimika kuzizuia ndege hizo kuruka.

Msemaji wa shirika linaloratibu safari za ndege barani Ulaya -Eurocontrol- amefahamisha kuwa tatizo hilo linaweza kuendelea hadi leo.

Wakati wingu hilo la majivu likielekea kusini mashariki mwa Ulaya, kutokea Iceland, anga za nchi za Scandnavia, Uingereza, Holand na Ubelgiji, zimefungwa, isipokuwa kwa ndege za dharura tu.

Wingu hilo pia limezifikia Ujerumani, Ufaransa na Poland ambapo viwanja vya ndege vilivyoathiriwa vimefungwa.

Nako nchini Ujerumani viwanja vya ndege katika miji ya Hamburg, Hanover na Bremen vitaendelea kufungwa mpaka saa mbili asubuhi hii leo, kwa saa za Ujerumani.

Uwanja wa ndege wa Düsseldorf pia umeathiriwa na hali hiyo, huku ndege kadhaa zikiahirisha safari katika uwanja wa ndege wa Frankfurt, ambao ni wa tatu kwa shughuli nyingi barani Ulaya.

Nako nchini Holland uwanja wa ndege wa Schipol umefungwa pia kufuatia mataizo hayo ya hali ya hewa, huku abiria kadhaa wakionekana kutafuta hoteli za kulala mpaka hapo viwanja vitakapofunguliwa tena.

Mamlaka husika zimekuwa zikichunguza hali hiyo.

. Soma Zaidi ...

Wednesday, April 14, 2010

MKUTANO JUU YA USALAMA WA NYUKLIA WAMALIZIKA


Mkutano mkubwa kuhusiana na usalama wa nyuklia, ulioshirikisha wakuu wa nchi na viongozi kutoka mataifa 47, umemalizika jana mjini Washington, Marekani.

Rais Barack Obama ambaye alikuwa mwenyeji wa mkutano huo amewataka viongozi duniani kuchukua hatua ya pamoja kuzuia makundi ya kigaidi kupata silaha za nyuklia, hatua ambayo amesema itaifanya Marekani na dunia kwa ujumla kuwa na usalama.


Akitoa hotuba ya mwisho ya kufunga mkutano huo kuhusiana na usalama wa nyuklia, amesema mkutano huo ni thibitisho tosha la nini kinachowezekana, iwapo mataifa yataungana pamoja kwa ari ya ushirikiano katika wajibu wa pamoja kukabiliana na changamoto.


Katika taarifa ya pamoja ya viongozi waliohudhuria mkutano huo, waliunga mkono wito uliotolewa na Rais Obama wa kudhibiti vyema malighafi za nyuklia zilizo na uwezekano wa kuathiriwa katika muda wa miaka minne ijayo.


Katika harakati za kupambana na biashara haramu ya silaha za nyuklia viongozi hao wamekubaliana pia kushirikiana kupeana taarifa na upelelezi, mahakama na utaalamu mwingine wa kisheria katika kushughulikia tatizo hilo.


Viongozi hao wamesema wametambua mahitaji ya kushirikiana miongoni mwa mataifa kuweza kuzuia kikamilifu matukio ya biashara haramu ya nyuklia.


Akiwa mwenyeji wa mkutano mkubwa kuwahi kufanyika nchini Marekani kwa zaidi ya miongo sita iliyopita, Rais Obama pia ameishinikiza China na wanachama wengine wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ambao wana mashaka kuunga mkono vikwazo vya Umoja wa Mataifa dhidi ya Iran kuhusiana na mpango wake wa nyuklia wenye utata.


Akizungumza katika mkutano huo kuhusiana na suala hilo la Iran, Rais Hu Jintao wa China amesema nchi yake kwa hakika inapinga silaha za nyuklia, lakini inaunga mkono matumizi ya nyuklia kwa raia.

Kwa upande wake Kansela wa Ujerumani, Angela Merkel, ambaye ameunga mkono azimio lililofikiwa katika mkutano huo, ameelezea kufurahishwa kwake na hatua hiyo iliyofikiwa na China ya kuonesha uwezekano wa kuchukuliwa hatua dhidi ya Iran.


Mbali na kuizungumzia Iran Rais Obama pia alielezea hofu iliyopo kuhusiana na maghala ya silaha za nyuklia nchini Pakistan, nchi ambayo ni ngome kubwa ya mtandao wa kigaidi wa Al Qaeda na makundi mengine ya wapiganaji.


Hata hivyo amesema nchi hiyo na nyingine ziko katika hatua ya kukabiliana na hali hiyo ikiwemo kutangaza hatua mpya ya kuimarisha usalama katika bandari kuzuia biashara haramu ya nyuklia.


Naye Rais Dmitry Medvedev wa Urusi ameuelezea mkutano huo kama wa mafanikio wakati nchi yake ikiwa imetangaza mipango ya kufunga mtambo wake wa mwisho wa madini ya Plutonium ambayo ni ya sumu kali yanayotumika kutengenezea silaha za nyuklia, afisa wa Urusi
ambaye hakutaka jina lake litajwe, alilithibitishia shirika la habari la AFP kwamba Rais Medvedev alitangaza mipango hiyo katika mkutano wa Washington.


Mkutano mwingine wa usalama wa nyuklia unatarajiwa kufanyika Korea ya Kusini miaka miwili ijayo. Mwandishi: Halima Nyanza(afp,Reuters) Mhariri: Josephat Charo.

.
Soma Zaidi ...

MACHINGA NDANI YA ZANZIBAR


Soma Zaidi ...

ZEC YATANGAZA TAREHE YA UCHAGUZI MKUU ZANZIBAR

Na Mwantanga Ame

TUME ya Uchaguzi ZEC, imetangaza kuwa uchaguzi Mkuu wa Zanzibar utafanyika Oktoba 31 mwaka huu baada ya kuvunjwa Baraza la Wawakilishi.

Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar, Salum Kassim Ali, ametoa tamko hilo mbele ya waandishi wa habari walioshiriki semina kuhusu maandalizi ya uchaguzi mkuu wa mwaka huu, katika hoteli ya Zanzibar Beach Resort, nje kidogo ya Mji wa Zanzibar

Semina hiyo ambayo imeandaliwa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar, na kufadhiliwa na Shirika la Umoja waMataifa la Mpango wa Maendeleo (UNDP) kwa ajili ya Wawakilishi wa asasi zinazofanya kazi na Wanawake ikiwa ni hatua ya kujadili mahitaji ya Wanawake wakati wa Uchaguzi.

Mkurugenzi huyo alisema sehemu kubwa ya maandalizi ya uchaguzi Mkuu ujao wa Zanzibar yamekamilika na uchaguzi huo umepangwa kufanyika kuanzia Oktoba 31 mwaka huu.

Katiba ya Zanzibar inaeleza kuwa Tume ya uchaguzi ndiyo yenye Mamlaka ya kuitisha uchaguzi ndani ya siku tano baada ya Baraza la Wawakilishi kuvunjwa.

Alisema uteuzi wa wagombea kupitia Tume hiyo utaanza Agosti mwaka huu baada ya vyama kumaliza kufanya uteuzi wao.

Kuhusu kampeni, Mkurugenzi huyo alisema zitanzia Oktoba 10, mwaka huu na kumalizika siku moja kabla ya uchaguzi kufanyika.

Alisema vifaa kwa ajili ya uchaguzi huo vimeanza kuagizwa na vinatarajiwa kufika nchini wakati wowote zikiwemo taa, Kompyuta na wino maalum wa kupigia kura.

Hata hivyo, alisema katika uchaguzi huo, hakuna jimbo litakalokatwa na kubakia yale yale 50 na wadi 141.

. Soma Zaidi ...

THE HISTORY OF KANGA


The Kanga

THE KANGA is a rectangle of pure cotton cloth with a border all around it, printed in bold designs and bright colours. It is as long as the span of your outstretched arms and wide enough to cover you from neck to knee, or from breast to toe. Kangas are usually bought and worn as a pair - called a "doti".


Kangas are the perfect gift. Husbands give kangas to wives. children to their mothers, a woman may split a pair to give half to her best friend. Men can sleep in kangas, and often wear them around the house; women wear them everywhere; babies are virtually born into them, and are usually carried in a soft sling of kanga cloth. Kangas are extremely popular throughout East Africa not only for clothing but for their multiple uses; no-one can ever have too many!


History of Kanga

Kangas originated on the coast of East Africa in the mid 19th century. As the story goes, some stylish ladies in Zanzibar got the idea of buying printed kerchiefs in lengths of six, from the bolt of cotton cloth from which kerchiefs were usually cut off and sold singly. They then cut the six into two lengths of three, and sewed these together along one side to make 3-by-2 sheet; or bought different kinds of kerchiefs and sewed them back together to form very individualistic designs.

The new design was called "leso" after the kerchief squares that had originally been brought to Africa by Portuguese traders. The leso quickly became popular than the other kind of patterned cloth available. Before long, enterprising coastal shopkeepers sent away for special designs, printed like the six-together leso pieces, but as a single unit of cloth.

These early designs probably had a border and a pattern of white spots on a dark background. The buyers (or more likely, their menfolk !) quickly came to call these cloths "KANGA" after the noisy, sociable guinea-fowl with its elegant spotty plumage.

Kanga designs have evolved over the years, from simple spots and borders to a huge variety of elaborate patterns of every conceivable motif and color. For a century, kangas were mostly designed and printed in India, the Far East and Europe. Even today, you will see kangas that were printed in China or Japan. But since the 1950's, more and more kangas have been designed and printed in Tanzania, Kenya, and other countries in Africa.

Early this century, Swahili sayings were added to kangas. Supposedly this fashion was started by a locally famous trader in Mombasa, Kaderdina Hajee Essak, also known as "Abdulla". His many kanga designs, formerly distinguished by the mark "K.H.E. - Mali ya Abdulla", often included a proverb. At first, the sayings, aphorisms or slogans were printed in Arabic script, later in Roman letters. Many of them have the added charm (or frustration!) of being obscure or ambiguous in their meaning. If you find a motto that you can't figure out, ask several different Swahili speakers. You will get an equal number of different explanations! Some typical kanga sayings are listed on the following page, for your edification and enjoyment.

New kanga designs keep appearing in great variety: - simple or intricate abstract patterns; homely themes such as chickens, crops, babies and fertility; pictures of famous attractions like mountains, monuments and wildlife; even pop stars! There are noticeable regional differences. For example, most of the kangas with mottos are made in Kenya, while those commemorating social or political events are more common in Tanzania.

The Kanga is still evolving. Like the T-shirt, but incomparably more elegant and useful, it is a valuable medium for personal political, social and religious expression. As an art form as well as a beautiful, convenient garment, the kanga has become an integral part of East African culture. As the saying goes, "The kanga struts in style..." Wear it with a smile!


A note on the History of Kanga

Please note that there are various versions of the origins of the kanga cloth. The version provided above by Hanby and Bygott is just one version. Anthony John Troughear, an Australian journalist who lived and worked in Kenya, has another version. He asserts that Charles New, in his book, "Life, wanderings and labours in Eastern Africa," London, 1873, p.58, describes Mombasa women starting a new fashion by sewing leso (headscarfs) together, three in a row stitched to another two, to make a larger leso with six panels.



Troughear thinks that the claim that kangas originated in Zanzibar is not correct. Zanzibar just happed to be a place where big Indian cloth merchants were. Those merchants only copied the Mombasa design when they saw it was becoming popular. The cloth merchants quickly made the six panels into one and it later evolved into the style which is common today.


The Anatomy of Kanga

Kanga is not just like any other rectangular piece of cloth, no matter how colourful it may be. It is an artifact of the Swahili culture and as such it should be designed with extreme care to appeal to its users. A poorly designed kanga, or one that fails to match the season doesn't deserve the name and the best it can be used for could be as a kitchen apron or a baby diaper.



Although the kanga design might differ slightly, a typical kanga in East Africa consists of a wider border (Swahili: pindo), the central motif (Swahili: mji), and the writing (Swahili: ujumbe or jina).

The pindo includes the outer margin, usually black in colour, and the inner band, which is double-bordered and may have a plain, textured, or patterned background. Its function is probably to provide support to the inner parts of kanga as well as to provide a clear distinction between the outer and the inner regions. In the most common use of kanga, the outer margin is usually hidden but its obscurity could be revealed in some kanga dresses. The background of the inner band usually matches the colours to be found on the central motif.

The mji and the jina are two features that usually give the kanga its local name and consequently its popularity. Mji occupies the most important area of kanga but save for its colours and the art, its popularity may be overshadowed by the context of the jina. The jina is usually printed in uppercase letters in colours that match the central motif and most likely on white background to improve its readability.


If the mji is made up of a distinguishable figure such as a fruit, an animal, a portrait, a flower, a pattern, or any other object, the kanga takes its local name from that particular figure. If however, the mji has no conspicuous figure the local name could be derived from the jina of the kanga. For example, a local name "bata" is for a kanga that has a picture of a "duck" in the motif; "mkeka" has a mat/carpet like pattern; "ndege" has a picture of a bird; "kikulacho" has a writing, "KIKULACHO KINGUONI MWAKO"; "mama nipe radhi" has a writing, "MAMA NIPE RADHI KUISHI NA WATU KAZI".


Kangas that come in dark blue colour are normally called "kanga za magharibi" (dusk kangas). There is a special design of kangas called "kisutu". It generally comes in red and black or blue and black colours. The red and black one is called "kisutu cha harusi" and is used in Zanzibar to wrap a bride on a wedding day. The blue and black version is more popular in Mombasa, Kenya.


Apart from its protective and decorative role, kanga is all about sending the message. It is the equivalent of the get well, greetings, or congratulations cards in the western culture but in this case the message goes a little bit beyond the normal meaning. For example, a fruit, a flower, a boat, or a bird could mean good upbringing or just the appreciation of beauty. On the other hand, a lion, a shark, or any such kind of dangerous animals could signal the sense of danger or a clear warning.

I need not say anything more about the jina. It has been explained in the section on Kanga History, but for whatever reason you are going to use kanga, bear in mind that it's the writing that tells everything!



Kanga and Politics

Just like the way campaign managers in western elections print t-shirts for sending their messages to the voters, kanga is an important tool for mobilizing people in East Africa. Whereas t-shirts apply equally well to men and women, kanga is something more appealing to women. By winning the support of women one is more than assured of election victory! Due to its simplicity in wearing, kanga if often used in political rallies as a form of identity for people supporting a particular political party.

Kanga has also been used to mobilize people in public health campaigns as well as creating awareness to particular development projects. When words are difficult to articulate with a mouth, inscribe them on kanga and wait for the results. Although cheap in price, the power of kanga in the Swahili culture is unimaginable.


***Swahili Language & Culture


.
Soma Zaidi ...

MWINYI AWAPASHA WANAOPINGA MSETO ZANZIBAR


RAIS mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi, amesema wanachama wa CCM wanaopinga Serikali ya Mseto Zanzibar, wamechelewa kwa kuwa ilipitishwa na Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) mwaka juzi.

Mwinyi alisema hayo jana baada ya kujiandikisha katika kituo cha Miembeni katika jimbo la Kikwajuni.

“Mimi au hata mwana CCM mwingine atakuwa amechelewa kutoa maoni ya kupinga Serikali hiyo. Tuliijadili na kupitisha Butiama, kwamba inafaa kwa Zanzibar. Tuiunge mkono,” alisema Mwinyi alipoombwa maoni yake kuhusu hilo.

Hoja ya Mwinyi imekuja baada ya uvumi baadhi ya viongozi visiwani hapa wanapiga kampeni ya siri ya kupinga maafikiano ya kuundwa kwa Serikali ya Mseto.

Mwinyi alisema anafurahia jinsi uandikishaji wa wapiga kura unavyoendeshwa na Wazanzibari wengi kuona umuhimu wa kujitokeza kabla ya kazi hiyo kumalizika mwisho wa mwezi ujao.

Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Salum Ali, alisema kazi ya kuandikisha wapiga kura inafanyika katika hali tulivu, yakizingatiwa maafikiano baina ya Rais Amani Abeid Karume na Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Seif Shariff Hamad.

“Hadi sasa Wazanzibari zaidi ya 300,000 wameandikishwa na kupewa kadi za kupigia kura, tunatarajia kuwa na wapiga kura zaidi ya 500,000 kwa uchaguzi mkuu baadaye mwaka huu,” alisema Ali.

Aidha, baadhi ya viongozi wa CUF wameendelea kulalamikia kuwapo baadhi ya wanachama wao ambao wameshindwa kuandikishwa kutokana na sababu mbalimbali, ikiwamo ya kuchelewa kupewa kitambulisho cha ukazi ambacho ni muhimu kwao kuandikishwa.

“Tumelalamika vya kutosha, lakini tuna imani kuwa Rais Karume atafanya lolote ili kusaidia. Baada ya maafikiano, tunahitaji kuwa na uchaguzi huru,” alisema Mkurugenzi wa Mawasiliano wa CUF, Salim Bimani

.
Soma Zaidi ...

Tuesday, April 13, 2010

POSITIVE APPROACH

Father : "I want you to marry a girl of my choice".
Son : "I will choose my own bride!".
Father : "But the girl is Bill Gates's daughter".
Son : "Well, in that case........OK"

Next Day
Father approaches Bill Gates.

Father : "I have a husband for your daughter".
Bill Gates : "But my daughter is too young to marry!"
Father : "But this man is a vice-president of the World Bank".
Bill Gates : "Ah! in that case.........OK"

Finally father goes to see the president of the World Bank

Father : "I have a young man to be recommended as a vice-president".
President : "But i already have more vice-presidents than i need".
Father : "But this young man is Bill Gates's son-in-low".
President : "Ah! in that case........OK".

This is how business is done!!.

Moral: Even if you have nothing, you can get anything. But your attitude & approach should be positive

. Soma Zaidi ...

ADEBAYOR HAS QUIT INTERNATIONALS


MANCHESTER CITY striker Emmanuel Adebayor has quit international football.
The Togo star has not played for his country since a terror attack at the African Cup of Nations.

Adebayor took three weeks compassionate leave following the tragedy in January.

The £25million ace saw the association's press secretary die in his arms after gunmen opened fire on the team bus.

Two more were killed while eight were injured.

And he said: "Following the tragic events during January's African Cup of Nations, in which my fellow countrymen were killed by terrorists in Angola, I have made the very difficult decision to retire from international football.

"I have weighed up my feelings in the weeks and months since the attack, and I am still haunted by the events which I witnessed on that horrible afternoon on the Togo team bus.

"We were just footballers going to play a football match and represent our country, yet we were attacked by people who wanted to kill us all.

"It is a moment I will never forget and one I never want to experience again.

"The people who were on that coach together will forever be joined by a special bond — we are all brothers.

"I will always have the team and the people of Togo close to my heart and wish them every success in the challenges that they will face in the future."


. Soma Zaidi ...

UKIFA KWA KIU BAHARINI NI MZEMBE

Wanasema maisha ni ubunifu.

. Soma Zaidi ...

ALBINO AKATWA MKONO MORO


Watu wanne wanaodaiwa kuwa ni wa jamii ya Kimasai, wamemkata mkono wa kushoto Said Abdallah (41) ambaye ni mlemavu wa ngozi (albino) kwa kutumia sime na kisha kutoweka nao.

Tukio hilo lilitokea juzi majira sa saa 10:15 jioni katika kijiji cha Kibaoni, Kata ya Melela Wilaya ya Mvomero, Morogoto na kwamba albino huyo alikatwa mkono huo baada ya kuvamiwa na watu hao akiwa shambani kwake.

Akizungumza na waandishi wa habari katika Hospitali ya Mkoa wa Morogoro alipolazwa kwa matibabu, alisema akiwa shambani kwake ghafla walitokea watu hao wakiwa na sime na fimbo na kumtaka awauzie tumbaku na kabla hajawauzia mmoja wa watu hao alimpiga fimbo sehemu ya kichogoni na baadaye kumkata kwa panga katika paji la uso.

Abdallah alisema kuwa watu hao waliendelea kumshambulia kwa fimbo na hivyo kupoteza fahamu na alipozinduka alijikuta mkono wake wa kushoto ukiwa umekatwa katika sehemu ya kiwiko na hakuweza kuona kipande cha mkono huo.

Alisema baadaye alipiga kelele za kuomba msaada ambapo alitokea mwanamke mmoja ambaye hakumfahamu na kumsaidia kumrudisha nyumbani kwake huku damu nyingi zikimtoka.

Alisema watu hao walishawahi kumtishia maisha kutokana na kuingiza mifugo yao katika shamba lake, lakini alisema kuwa hakutoa taarifa polisi kutokana na wafugaji hao kuvamia sehemu kubwa ya kijiji hicho na kufanya uharibifu wa mazao huku wakitishia maisha ya wakulima wengine kijiji hapo.

Alisema kuwa kitendo cha kumkata mkono na watu hao kuondoka na kipande cha mkono huo kinaashiria kuwa ni kutokana na imani za kishirikina na si visasi.

Mwenyekiti wa kitongoji cha Kibaoni, Asikile Yuda, alisema kupitia kamati yake ya ulinzi na usalama pamoja na wasamalia wema walikwenda katika kituo cha polisi cha kati mjini hapa na kutoa taarifa kisha kupewa PF3 na baadaye kumpeleka katika hospitali ya rufaa ya mkoani hapa.

Alisema kuwa tukio hilo ni la kwanza kutokea katika kijiji hicho licha ya kuwepo kwa migogoro mingi ya wakulima na wafugaji na hivyo kuiomba serikali kuhakikisha kuwa ulinzi unaimarishwa kijijini hapo ili matukio ya aina hiyo yaweze kudhibitiwa.

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Issa Machibya alifika wodi namba moja alikolazwa albino huyo na kumpa pole na kulitaka jeshi la Polisi mkoani hapa kuhakikisha kuwa watu waliohusika katika tukio hilo wanakamatwa haraka na kufikishwa mahakamani.


.
Soma Zaidi ...

Monday, April 12, 2010

WATU 11 WAUAWA KATIKA AJALI YA TRENI ITALY

Kiasi watu 11 wameuwawa katika ajali ya treni kaskazini mwa Italia.

Shirika la habari la Italia, Ansa, linaripoti kuwa kiasi cha watu 20 pia wamejeruhiwa, baadhi vibaya sana.

Treni hiyo iliacha njia baada ya kugonga sehemu yalipotokea maporomoko ya ardhi mapema leo asubuhi karibu na mji wa Merano.



. Soma Zaidi ...

TANGAZO LA MUHADHARA

Assalam Alaykum.

Ndugu waislamu,

Munaarifiwa Muhadhara (wanaume na wanawake) siku ya Jumamosi 01/05/2010 saa 8:30 za mchana, hapo
Spencer Street.
Clydebank.
G81 3AS.

INSHAALLAH. Tutakuwa na wasemaji wenyeji wa Scotand na baadhi kutoka England.Mada ni
1: Dalili za kuwepo ALLAH.
2: Kufanya urafiki na watu waovu.
3: Tafsiri ya Suratul FATIHA.
Na mwisho wa shughuli patatolewa taqadum.

Kila mwenye kupata ujumbe huu amuarifu na mwenziwe.

Ahsanteni.

.
Soma Zaidi ...

IDI AMIN'S SON FACES RAP OVER MOB GBH


The son of late dictator Idi Amin has been charged with a savage attack hours before he was due to be deported from Britain.
Faisal Wangita, 28, is alleged to have been one of eight men who battered another deportee at an immigration centre.

The South American victim, 23, suffered multiple injuries and spent three nights in hospital following the attack at Colnbrook, near Heathrow Airport.

He will now stay in Britain to give evidence against the group - all charged with grievous bodily harm with intent.

Wangita is thought to be Amin's 43rd child. Up to 400,000 people were killed under his brutal 1971-79 regime in Uganda.

Keeping Wangita and the others in custody will cost taxpayers hundreds of thousands of pounds.

The bill will rise even further, if they are convicted and jailed.

Also charged are Adelson De Oliveira, 23, Julio Odjoma, 27, Robert Williams, 25, Omar Haji-Ali, 30, Ahmed Musse, 27, Steven Kadima, 22, and Marc Deborge, 33.

All are due at Isleworth Crown Court on May 18.


.
Soma Zaidi ...

THAMANI YA SARAFU YA EURO YAPANDA

Thamani ya sarafu ya Euro imepanda katika masoko ya fedha, baada ya nchi zinazotumia sarafu ya Euro kutangaza kuwa kanda hiyo ipo tayari kuipatia Ugiriki msaada wa dharura wa Euro bilioni 30.

Lakini Ugiriki inayokumbwa na mzigo mkubwa wa madeni imesema kuwa kwa hivi sasa haitochukua msaada huo. Waziri wa Fedha wa Ugiriki Giorgos Papaconstantinou ameeleza waziwazi kuwa nchi yake haijaomba msaada kutoka nchi hizo za kanda ya Euro.

Yeye anatumaini kuwa serikali yake itaendelea kupata fedha katika masoko ya hisa. Amesema, uamuzi wa washirika wake katika kanda ya Euro umedhihirisha kuwa wana imani na Ugiriki.

Nchi zinazotumia sarafu ya Euro zipo tayari kuipatia Ugiriki mkopo wa dharura wa Euro bilioni 30 kwa riba ya asilimia tano. Hata shirika la fedha la kimataifa IMF lipo tayari kuisaidia Ugiriki iliyo na matatizo ya fedha.

Ugiriki inahitaji kupata kama Euro bilioni 11.5 hadi mwezi ujao. Hiyo ni sehemu ya Euro bilioni 54 zinazohitajiwa na serikali ya Ugiriki katika mwaka huu ili iweze kulipa madeni yake na kukidhi mahitaji ya dharura ya bajeti.
Hesabu za mwisho zimeonyesha kuwa Ugiriki ina deni la kama Euro bilioni 300.

. Soma Zaidi ...

ZANZIBAR YANYANG'ANYWA UENYEJI RIADHA TAIFA CUP

Chama cha Riadha Zanzibar (ZAAA), kimepokwa uenyeji wa Mashindano ya Taifa ya mwaka huu yaliyokuwa yafanyike mwezi ujao kwenye Uwanja wa Amani visiwani humo.

Habari za uhakika zilizopatikana kutoka ndani ya Chama cha Riadha Tanzania (RT), jana, zinasema kuwa sasa mashindano ya mwaka huu yatafanyika tena jijini Dar es Salaam kama ilivyokuwa mwaka jana.

Mwaka jana, mashindano hayo ambayo hushirikisha takriban mikoa yote ya bara na visiwani, yalifanyika Uwanja wa Taifa jijini, ikiwa ni mara ya kwanza uwanja huo kutumika kwa michezo ya riadha tangu ufunguliwe.

Awali, RT ilitangaza kuwa Zanzibar itakuwa mwenyeji wa mashindano hayo ya taifa, ili kuutangaza uwanja huo wa Amani ambao unafanyiwa ukarabati mkubwa hivi sasa.

Hata hivyo, mtoa habari huyo hakuweza kubainisha sababu za ZAAA kunyang’anywa uenyeji huo na kupewa Dar es Salaam, lakini alithibitisha kuwa, tayari Chama cha Riadha Mkoa wa Dar es Salaam (DAAA), kimeishapewa barua ya kujiandaa na mashindano hayo.

Juhudi za kuwatafuta viongozi wa RT ili kubainisha sababu za mabadiliko hayo, jana zilishindikana.


. Soma Zaidi ...

Sunday, April 11, 2010

ONE SQUARE MILE: ZANZIBAR



Video hii imerushwa hewani jana Jumamosi na kituo cha BBC na itarudiwa tena leo mnamo saa 14:30 GMT na 20:30 GMT Soma Zaidi ...

OPRAH WINFREY GETS NEW PROGRAM


Talk show queen Oprah Winfrey moved to the evening. On her new Channel "The Oprah Winfrey Network 'is a new evening program they present.

The program is named "Oprah's Next Chapter '. In the talk show she visits celebrities and politicians from around the world. So Winfrey visited India and China this week for pictures.

Recently, Oprah announced after 25 years an end to her show 'The Oprah Winfrey Show "set. She goes behind the scenes in future work on its own channel, "The Oprah Winfrey Network." The network will be launched on January 1, 2011.

Shania Twain will also present a program on Winfrey's channel. In her show "Why Not? With Shania Twain 'follows the 44-year-old singer during her comeback.


. Soma Zaidi ...

UCHAGUZI WA KIHISTORIA WAFANYWA SUDAN

Chaguzi za rais,bunge na serikali za mitaa zinafanywa kuanzia leo tarehe 11 hadi 13 Aprili, licha ya kususiwa na vyama vingi vikuu vya upinzani.

Rais wa Sudan, Omar Hassan al-Bashir anatazamiwa kushinda, baada ya wagombea wawili wakuu kujitoa katika kinyanganyiro hicho.

Yasser Arman wa chama cha SPLM kutoka Sudan ya Kusini na Sadiq al Mahdi wa chama cha Umma kutoka kaskazini ya nchi, walitazamiwa kutoa changamoto kali katika uchaguzi wa kugombea wadhifa wa rais.

Lakini vyama vingi vya upinzani vimekataa kushiriki katika uchaguzi huo kwa madai kuwa kulikuwepo ila katika utaratibu wa maandalizi ya uchaguzi.

Baadhi ya waangalizi wana wasiwasi kuwa uchaguzi huo na hasa matokeo ya kwanza ya uchaguzi huenda yakazusha machafuko katika nchi iliyoteketezwa kwa vita vya wenyewe kwa wenyewe.

Kwenye hatari kubwa zaidi kwa machafuko kuibuka ni jimbo la Darfur ambako Umoja wa Mataifa unatathmini kuwa kama watu 300,000 wameuawa tangu mapigano yalipoanza katika jimbo hilo la magharibi hapo mwaka 2003.


.
Soma Zaidi ...

Saturday, April 10, 2010

EINDHOVEN LEO MCHANA

Leo tulipata safari ya Eindhoven na hii ndio hali tulikutana nayo mjini humo
Ilibidi tufuate mabango kwa sababu tulikua hatuna tom tom
Tulikutana na foleni wakati tunaingia mjini
Spitali ya Maxima
Maeneo ya mji wa Eindhoven
Station ya mabasi Eindhoven
Uwanja wa Philips ambao ndio wanao tumia timu ya PSV Eindhoven
Sehemu ya mbele ya Uwanja ambako kuna duka la vivaa vya michezo

Tulibahatika pia kuingia ndani ya duka na hii ndio mandhari yake
Kumbukumbu ya mechi kati ya PSV na Inter ambayo ilichezwa mwaka 2007 imewekwa ndani ya frame kwenye duka hilo
Jezi pamoja na viatu alivyowahi kuvaa Van Nistelrooy alipokua akichezea PSVkabla ya kuhamia Man U, pia vimo ndani ya frame kama kumbu kumbu
Kumbu kumbu ya mechi kati ya Oranje na Brasil pia ikiwa ndani ya frame lakini hawakuandika ni ya mwaka gani


Jezi hii na viatu aliwahi kuvaa Van Bommel wakati akichezea PSV. na kwenye hio picha iliyo ndani ya frame huyo mwenye jezi nyeusi ndio Van Bommel

. Soma Zaidi ...