Wednesday, December 1, 2010

TANGAZO WA WASOMAJI WOTE

Assalaam alaikum wapenzi mnaofuatilia blog hii kwa karibu, kutokana na matatizo ya hapa na pale nimeshindwa kua hewani kwa takriban miezi minne sasa, lakini kwa uwezo wake Allah panapo majaaliwa tutarudi tena hewani katika kipindi kifupi kijacho.

Nakupeni pole nyote kwa usumbufu uliojitokeza.
Ahsanteni sana

by Ommykiss Soma Zaidi ...