

Picha hizi nilizipiga kipindi cha baridi na ilikua ni mwezi wa Januari mwaka huu, kwa wakati ule hapa palikua na uwanja wa mpira pamoja na mabenchi ambayo watu walikua wakikaa kipindi cha jua,lakini jamaa wameibadilisha hii sehemu na huwezi ukajua kama mwanzo hapa palikua hivi, picha za chini zinaonesha jinsi hali ya sasa uwanjani hapa ilivyo.
No comments:
Post a Comment