Friday, July 9, 2010

LEBRON JEMS KUHAMIA MIAMI HEAT MSIMU UJAO

Mcheza kikapu Nyota wa Marekani LeBron Jems ameamua kuachana na timu yake ya Cleverland na kuungana na rafiki yake Dwyane Wade kwenye timu ya Miami Heat, Jems alitangaza azma yake hio wakati alipozungumza kwenye chanali ya national television siku ya alkhamis. Soma zaidi >>>

No comments:

Post a Comment