Saturday, July 10, 2010

MIFUKO YA PLASTIKI ZANZIBAR

Mfanya biashara ya machunga akiwa amefunga machungwa katika mifuko ya plastiki, mifuko ambayo nilisikia kwamba imepigwa marufuku Zanzibar, sasa je habari hizi zina ukweli wowote? na kama zinaukweli ndani yake kwa nini watu bado wanaitumia?

No comments:

Post a Comment