Friday, June 4, 2010

UMEME PEMBA WAZIDNULIWA RASMIN


Rais wa Zanzibar Ambae ni mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi akibonyeza kitufye kuashiria uzinduzi rasmin wa umeme wa gridi ya taifa uliopita chini ya bahari kutoka Tanga hadi Pemba, uzinduzi ambao ulifanyika katika uwanja wa Gombani huko Pemba jana.

No comments:

Post a Comment