Wednesday, June 9, 2010

MAHOJIANO:IDHAA YA KISWAHILI BBC NA BALOZI MWANAIDI SINARE MAAJAR


Mahojiano kati ya Zuhura Yunus wa Idhaa ya Kiswahili ya BBC na Balozi Mwanaidi Sinare Maajar. Balozi Maajar yuko mbioni kuelekea Washington atakakokuwa balozi mpya wa Tanzania baada ya kufanya kazi hiyo nchini Uingereza kwa takriban miaka minne. Anazungumzia changamoto na mafanikio yake. ANGALIA HAPA

No comments:

Post a Comment