Friday, May 21, 2010

UWANJA WA AMANI WAA WAAAAA!!!

Muonekano wa uwanja mpya wa amani baada ya ukarabati
Rais wa Zanzibar ambae ni mwenyekiti wa baraza la mapindizi mh, Amani Karume akikagua uwanja mpya wa Aamani baada ya kufanyia ukarabati na Wachina.

No comments:

Post a Comment