Saturday, May 1, 2010

KITU CHA AZ ALKMAAR



Assalaam alaikum,

Mambo vipi kaka Ommy? kwanza pole na mihangaiko ya hapa na pale, na pia nakupa hongera kwa kutupasha yanayojiri katika ulimwengu kwenye nyanja tofauti. Nimepita hapa kwenye uwanja wa timu ya AZ Alkmaar na nimeona nikutumie hizi picha ili kwa wale waliokua hawaujui ama hawajawahi kuuona uwanja huu na wao wauone, ila nasikitika sikupata kuupiga picha vizuri kwani nilikua ndani ya gari.

Ahsante sana,
Mimi ni mfuatiliaji kutoka Udachini.

.

No comments:

Post a Comment