OMMYKISS
Karibu leo na kila siku
Tuesday, March 9, 2010
YOTE HAYA NI SIMU TU
Jamaa huyu ilibidi apige mbizi kwenye haya maji machafu kwa ajili ya kwenda kutafuta simu ilio tumbukia, bila ya kujali madhara yatakayompata kwa afya yake kutokana na maji haya machafu, hii imetokea maeneo ya Mandela Road Dar.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment