Saturday, March 27, 2010

SABABU ZA KUHARIBIKA NDOA NYINGI ULAYA

kwa ujumla ni nyingi zikiwemo kama hizi:


Katika sababu zenye kumhusu mume ni kama hizi:

1. Mwanamume kutokuwa na tabia nzuri.
2. Mwanamume kumdhulumu mwanamke na kutomtendea haki kwa kutomtimizia anayotakiwa amtimizie wa visingizio kama vile unafanya kazi kama ninavyofanya hivyo akawa hampi fedha wala hamnunulii mahitaji yake na kadhalika.
3. Mwanamume kushindwa kumtimizia mkewe haki yake kwa kujituma kupita kiasi na kila anapodaiwa haki akawa hawezi kwa uchovu au vyenginevyo.
4. Kupatikana kwa uasi kwa mmoja wao au kwa wote wawili jambo ambalo hupelekea kuharibika uhusiano baina yao kwa uasi huo mpaka ikafikia kupelekea kuachana.
5. Mwanamume kutokufan ya kazi na kutegemea kipato cha mwanamke anachosaidiwa na serikali kwa udanganyifu n.k.
6. Mwanamume kuwa mvivu na kutegemea serikali kumsaidia yeye kwa kudanganya serikali na pia kuwa na tabia za udanganyifu kwa kupata kipato cha haramu.
7. Mwanamume kupoteza masaa mengi kwenye internet au tv kutazama mipira na upuuzi mwengine na kutothamini kutumia wakati wake na mkewe.
8. Mwanamume kuwa na mahusiano na wanawake wengine nje ya ndoa.
9. Mwanamume kutumia masaa mengi kazini na kufanya overtime nyingi hata akirudi nyumbani yu hoi na hana nafasi na mkewe.
10. Mwanamume alioa kwa lengo la kudandia nyumba ya mke anayolipiwa na serikali ili abane matumizi na fedha zake atume makontena Afrika na kuanzisha miradi.
11. Tabiya chafu za wanaume kama kuvuta sigara, kula mirungi na mengine yenye kumkirihisha mke na kumkosesha subira za kukaa na mume.
12. Mwanamume kuoa mke mwengine.
13. Mwanamume kupenda maovu kama kutaama picha za ngono na sinema zisizo na maadili.
14. Mwanamume kutokuswali au kutokufanya ‘Ibaadah nyinginezo au kutoshikamana na Diyn kwa ujumla.

Na sababu zinazomuhusu mwanamke ni hizi:

1- kusagana
2-umalaya
3-kupenda hongo kwa wanaume
4-jeuri na wajuba
5-wambeya na mafisadi
6-wachoyo na wasengenyaji
7-wanapenda ushirikina
8- wanapenda vya watu
9-walaghai kwa mapenzi ya watu
10-wizi wa waume za watu
11-wanaeneza ukimwi kirahisi
12-waasi na kutowatii waume
13-kumfilisi mume kwa matakwa sio ya lazima
14-kusikiliza wazee na kumdharau mume
15-tamaa ya waume za watu na vitu
16- hawapendi kuzaa na kulea
17-wajinga sio wenye elimu


Mengine ambayo yanawahusu wote wawili ni haya yafuatayo:

1. Mahusiano mabaya baina ya mke na wazee wa mumewe au mahusiano ya mume na wazee wa mke.
2. Wazazi kuingilia kati ya ndoa ya watoto wao.
3. Kutokuwa na Imani na Taqwa inayohitajika.
4. Kutoijua Dini inavyohitajiwa kwa kila Muislamu.
5. Watu kuingia katika ndoa bila ya kujua haki na majukumu yake.
6. Ukabila na utaifa.
7. Watu kuwa na ada za siri (kujichua na kujisugua).
8. Watu kuwa na marafiki kabla ya kuoa au nje ya ndoa.

.

No comments:

Post a Comment