Wednesday, February 24, 2010

UJUMBE KUTOKA ZANZIBAR - SMS

(((( ))))
((( @) (@ )))
(((; <._.> ; )))
( ——-, )
1.Angalia nilivyobabuka uso kwa joto na mapele ya mbu yamenijaa.
Upara ushaota kwa madumu ya maji. Lakini tunawambia kisiwa hakiuzwi anaetaka akae kama hawezi ahame…
Mapinduzi daimaa…Umeme mpaka mwakani, atakaekufa na afe,
CCM Oyee!

2.Dua za kisasa
Asalam-alaykum!
Dua ni zawadi moja kutunukiwa huna budi kuipokea
Napendelea furaha yako iongezeke kama BEI YA PETROLI. Mashaka yakupotee kama UMEME WA ZANZIBAR. Umaarufu wako uzidi kama SHIDA YA MAJI.Mungu akupe subira kama unavyo subiri UMEME. Hekima zako zizagae kama kelele za MAJENRETA kwenye kisima chetu cha Zanzibar..AMIN.


No comments:

Post a Comment