Monday, February 1, 2010

NDIO UMASIKINI AU DHARAU?


Hili ni darasa katika skuli ya msingi ya Mlumleni katika wilaya ya Mkuranga Mkoa wa pwani,
watu kila siku wamo katika safari sizizokwisha, ujenzi wa nyumba ya kuishi mtu mmoja tu na familia yake unagharibu shilingi Bilioni Moja huku wakiwaacha watoto walio wengi wakikosa sehemu za uhakika kwa ajili ya kupata elimu kitu ambacho ndicho kinadaiwa kuwa ni ufunguo wa maisha, hivi hii kweli hii ina hadhi ya kuitwa skuli?

No comments:

Post a Comment