Tuesday, February 2, 2010

MIMI NI MMASAI BANA!!!!!

Mmasai huyu anaejuilikana kwa jina la Daniel Sakita mwenye umri wa miaka 20 yalimkuta hayo anayoonekana nayo katika picha baada ya kuamua kuchupa kutoka katika gari moja aina ya pick-up maeneo ya Silent Inn baada ya dereva wa gari hio kukataa kumshusha mmasai huyo hapo Silent Inn

No comments:

Post a Comment