Monday, February 1, 2010

CCM YAADHIMISHA MIAKA 33 YA KUZALIWA KWAKE

Mh. Karume akikabidhi kadi za uwanachama kwa wanachama wapya wa CCM katika maadhimisho ya kutimiza miaka 33 ya kuzaliwa kwa hicho huko Bagamoyo jana. Hawa ni baadhi ya wanachama wa chama cha Mapinduzi CCM wakimsikiliza Makamo mwenyekiti wa CCM Zanzibar Mh. Amani Karume katika sherehe za maadhimisho ya kutimiza miaka 33 ya kuzwaliwa kwa chama hicho yaliyofanyika jana huko Bagamoyo.Makamao mwenyekiti huyo ambae pia ni Rais wa Zanzibar alikua ndio mgeni Rasmin katika maadhimisho hayo.


No comments:

Post a Comment