Friday, February 26, 2010

FUMBA LEO HII

Mafundi wakijadiliana ili kupata ufumbuzi juu ya nini cha kufanya Ni miongoni mwa insulators zilizo vunjika

Majukwaa kwa ajili ya ufungaji wa insulators na vifaa vyengine
Mafundi wakiwa katika kituo cha Fumba wanaonekana bado wapo katika harakati za kuurudisha umeme Kisiwazi Unguja na wanatarajia kufunga kazi mnamo sasa sita usiku kwa saa za Afrika Mashariki, lakini kuna baadhi ya Insulators zimevunjika na hii inaweza ikasabisha ucheleweshaji wa uwashwaji umeme.

No comments:

Post a Comment