Friday, January 29, 2010

SOKO LA ALHAMIS ALMELO

Soko kama hili nakumbuka tulikua nalo enzi za Rais Komandoo na lilikua ni la jumapili (Sunday Market) pale maeneo ya Msikiti Mabuluu na kwa kweli lilikua likisaidia wananchi kutokana na bidhaa zake kuuzwa rahisi, lakini sijui soko lile limekwendea wapi.

No comments:

Post a Comment