Thursday, January 28, 2010

MATOKEO YA MECHI ZA LEO

Mafarao wafanikiwa kuingia fainali ya michuano ya Kombe la Mataifa Afrika baada ya kuwatundika Algeria magoli 4-0, katika mchezo huo wachezaji 3 wa timu ya Algeria wamepewa kadi nyekundu akiwemo mlinda mlango wao

Katika mechi ya mwazo Ghana walicheza dhidi ya Nigeria na Ghana walishinda kwa bao 1-0, mafarao watacheza Fainali dhidi ya Ghana siku ya jumapili wakati jumamosi Algeria wataminyana na Nigeria



Matokeo ya mechi nyengine za leo ni kama ifuatavyo:

Copa del Rey
Getafe CF 0 - 1 RCD Mallorca

Coppa Italia
Internazionale 2 - 1 Juventus

No comments:

Post a Comment