Tuesday, January 26, 2010

MAREHEMU SWETU FUNDIKIRA AMEZIKWA MAKABURI YA KISUTU

Umati mkubwa wa watu walihudhuria maziko katika makaburi ya kisutu leo jioni.
Watu waliohudhuria mazishi katika makaburi ya kisutu wakipepea kitambaa juu ya kaburi alilolazwa marehemu Swetu.
Sehemu ya wanaume ndugu na jamaa waliohudhuria maziko wakipata chakula nyumbani kwa mzee Fundikira

Sehemu ya wanawake ndugu na jamaa waliohudhuria katika msiba wa marehemu Swetu fundikira aliefariki dunia kwa kupigwa na wanajeshi, marehemu amezikwa leo jioni mnamo majira ya saa 10 jioni kwa saa za Arfika Mashariki.

No comments:

Post a Comment