Tuesday, January 26, 2010

KARUME ALIPOTEMBELEA BANDARI YA MALINDI

Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi mh. Amani Abeid Karume akipata maelekezo kutoka kwa mkurugenzi wa shirika la bandari Zanzibar Mustafa Aboud Jumbe wakati alipofika bandarini hapo ili kukagua maendeleo ya ujenzi unaoendelea bandarini hapo.
Rais wa Zanzibr na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi akizungumza na mafundi wanaoshuhulikia ujenzi wa sehemu ya kuwekea makontena katika bandari ya Malindi iliopo mjini Unguja, ujenzi huo unesimamiwa na shirika la bandari la Zanzibar.

No comments:

Post a Comment