Wednesday, December 23, 2009

NDEGE YA MAREKANI YAANGUKA JAMAICA

Ndege ya abiria ya kimarekani aina ya Boeing 737 imeanguka jana katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kingston huko Jamaica ilipokua ikitaka kutua.

Ndege hio ilianguka baada ya kukosea njia kutokana na mvua kubwa iliyokua ikinyesha na kukatika vipande viwili hivyo kusababisha abiria 40 kujeruhiwa na hakukua na habari za vifo zilizoripotiwa.

Iliondoka Miami majira ya saa 20:52 (local time) na ilitarajiwa kuwasili Kingstone saa 22:27 huku ikiwa na abiria 148 pamoja na wafanyakzi 6

No comments:

Post a Comment