Monday, November 16, 2009

KEVIN BADO NGANGARI BBA

Kwa mara nyengine tena mnigeria Kevin aendelea kupeta ndani ya jumba la Big Brother, Kevin aliwekwa juu kwa ajili ya kufukuzwa na aliekua mkuu wa nyumba wiki iliopita Edward baada ya kumuokoa Itai na kupata nafasi ya Kevin kuchuana na Leonel kwa kutafuta wingi wa kura, hatimae Leonel akakosa kura za kuweza kumbakisha ndani ya jumba hilo na kuyaaga mashindano hayo, leo joni tutajua ni nani na nani wako juu kwa kufukuzwa jumapili wiki hii

No comments:

Post a Comment