Thursday, November 12, 2009

ELIZABETH APOKELEWA KISHUJAA NYUMBANI

Elizabeth mara baada ya kutua katika uwanja wa ndege wa Mwalim Julius Nyerere
Elizabeth akiwa na mama yake maara baada ya kutua jana jioni katika uwanja wa Mwalim Julius Nyerere, Elizabeth alipokelewa kama shujaa alieiwakilisha vyema TZ katika jumba la Big Brother.

No comments:

Post a Comment