Monday, October 26, 2009

ELIZABETH ANUSURIKA KUTOKA KATIKA JUMBA LA BIG BROTHER KWA MARA NYENGINE TENA

Kwa mara nyengine tena mtanzania Elizabeth na mshirika wake mnigeria Kevin wamebakia kwenye jumba la Big Brother huku Kristal na Mwenziwe Quinn wakiaga mashindano hayo.hii ni mara ya pili kwa Elizabeth kunusurika kutolewa kwenye jumba hilo.

No comments:

Post a Comment