Saturday, June 5, 2010

ENZI HIZOOOOOOO!!!!!!!!!


Hapa rais Jafar el Nimeiri wa Sudan akisalimiana na Omar
Zimbwe huku mohamed chuma (shoto) na nahodha
Abdulrahmani wakishuhudia. nyuma yao ni Kitwana Manara 'popat'
na Abdallah King Kibaden Mputa. hapa staazi walicheza vifua wazi
na Sudan baada ya kukosekana jezi. mwalimu Nyerere aliyehudhuria
mechi hii na mgeni wake hakuonekana tena mpirani toka siku hiyo....

No comments:

Post a Comment