Tuesday, June 29, 2010

JAHAZI LAVAMIA BOTI DAR

Boti za mamlaka ya bandari zikifanya kazi ya uokoaji baada ya jahazi moja kugongana na boti ya Seagul baada ya kubadilika kwa upepo karibu na eneo la bandari ya Dar-es-salaam jana, watu wote waliokolewa wakiwa salama.

No comments:

Post a Comment