Monday, May 24, 2010

HAPA NI SKULI AU MAULIDINI????

Kwa kweli hii hali sasa imefika pabaya, imefikia mpaka wanafunzi kukalia mabusati? nikikumbuka wakati tukisoma sisi na hzi taswira za sasa napata picha ya kwamba tumerudi nyuma kwa miaka isiyopungua 30 kimaendeleo.

No comments:

Post a Comment