Wednesday, March 31, 2010

HAPO VIPI?

Kina dada wakipata kumbukumbu muhimu, lakini ni kweli siku zijazo watakuja kujuana nani ni nani katika picha hii?
Dogo anaandikiwa baada ya kuvunja sheria za barabarani na hii inadhihirisha wazi kwamba sheria haichagui mkubwa wala mdogo.


.

No comments:

Post a Comment