Saturday, February 13, 2010

TANZANIA YAPELEKA MAJESHI YAKE SUDAN

Baadhi ya manajeshi wa jeshi la wananchi JWTZ wakipanda ndege siku ya Alkhmis usiku katika uwanja wa ndege wa Mwalim Julius Nyerere wakielekea Darfur nchini Sudan kwa ajili ya kulinda amani katika mji huo, Tanzania inatarajiwa kupeleka wanajeshi 600 katika mpango huo wa kulinda amani.

No comments:

Post a Comment