Sunday, February 14, 2010

MKIMBIZI WA KIHOLANZI ATUHUMIWA UGAIDI NCHINI BURUNDI

Mkimbizi mmoja alieomba hifadhi ya ukimbizi nchini Uholanzi, alituhumiwa kuwa ni gaidi kutoka katika kikundi cha Al-Shabab baada ya kurudishwa Burundi na kudai kwamba yeye si mrundi bali ni Msomali.

Mtandao mmoja nchini Burundi ambao unaandika habari zake kwa lugha ya Kifaransa na Kirundi uliandika habari hizo baada ya wakimbizi kutoka Sweeden na Uholanzi kurudishwa burundi.

Habari kamili zinapatikana hapa kwa lugha ya Kifaransa

No comments:

Post a Comment