Monday, January 25, 2010

NIGERIA WATINGA NUSU FAINALI KWA NJIA YA MATUTA

Timu ya taifa ya Ngeria imeingia nusu fainali ya michuano ya kombe la mataifa ya Afrika baada ya kuitoa timu ya Zambia kwa njia ya matuta baada ya kumaliza kwa dakika 120 bila ya timu hizo kufungana, katika mapigo hayo ya matuta timu ya Zambia walikosa moja na wanaigeria walipata zote.

Kabla ya mtanange huo kulikua na mechi kati ya Cameroon na Egypt ambapo Cameroon walibugizwa mabao 3-1 na kutolewa.


No comments:

Post a Comment