Saturday, January 23, 2010

FEDERER ATINGA MZUNGUKO WA NNE AUSTRALIAN OPEN

Mcheza tenis namba moja duniani Rogger Federer atinga katika mzunguko wa nne kwenye mashindano ya Australian Open baada ya kumbamiza bila ya huruma kwa seti tatu bila 6-3, 6-4, 6-4 mspain mweny kushikilia nafasi ya 23 duniani Albert Montanes.Federer atakutana na Lleyton Hewitt katika mzunguko huo wa nne.

No comments:

Post a Comment