Saturday, January 30, 2010

MATOKEO YA BAADHI YA MECHI ZA LEO

Timu ya Chelsea imejiongezea alama zaidi kileleni mwa ligi kuu Uingereza baada ya kuwachapa Burnley magoli mawili kwa moja katika mechi iliyochezwa kwenye uwanja wa Turf Moor huko Burnley,kwa upande wa Chelsea magoli yalifungwa na Anelka goli la mwanzo na lile la pili liliwekwa nyavuni na nahodha Terry.

Chelsea wanashikilia usukani wa Premier League wakiwa na alama 54 kwa kucheza mechi 23 wakifuatiwa na Man Utd, nafasi ya pili kwa alama 50 huku wakiwa tayari wameshacheza mechi 23, na nafasi ya tatu wapo washika bunduki Arsenal wakiwa na alama 49 kwa kucheza mechi 23.

Msimamo huu wa ligi unaweza kubadilika kulingana na matokeo ya mchezo wa kesho kati ya Arsenal na Man Utd mechi ambayo itachezwa Emirates Stadium

Premier League
Burnley1 - 2Chelsea
Birmingham City1 - 1Tottenham Hotspur
Fulham0 - 2Aston Villa
Hull City2 - 2Wolverhampton Wanderers
Liverpool2 - 0Bolton Wanderers
West Ham United0 - 0Blackburn Rovers
Wigan Athletic0 - 1Everton

African Cup of Nations
Nigeria1 - 0Algeria

La Liga
RCD Espanyol1 - 0Athletic Bilbao

Serie A
Bari4 - 2Palermo

Bundesliga
Schalke 042 - 0Hoffenheim
Borussia Mönchengladbach4 - 3Werder Bremen
Eintracht Frankfurt1 - 21. FC Köln
Hertha BSC0 - 0VfL Bochum
Bayern München3 - 0FSV Mainz 05
Hannover 961 - 31. FC Nürnberg

No comments:

Post a Comment