Sunday, November 8, 2009

MECHI ZA UINGEREZA LEO HII

13:30 Hull City vs Stoke City 15:00 West Ham United vs Everton 15:00 Wigan Athletic vs Fulham 16:00 Chelsea vs Manchester United Mechi ya leo kati ya Chelsea na Manchester United imekua kivutio kikubwa kutokana na timu hizo kwaza kila moja inataka kushika nafasi ya kwanza, pili kwa upande wa Chelsea inataka kuendeleza rekodi yake ya kutofungwa na Manchester katika uwanja wake Stamford Bridge, itakumbukwa kwamba ni misimu saba imepita ya ligi kuu, Chelsea hahaijawahi kufungwa nyumbani na Machester United. Nao Manchester United wanataka kuvunja rekodi hio kwani katikamisimu sita ya ligi kuu ni magoli mawili tu ndio waliopata wakiwa Stamford Bridge,wakiwa wameshindwa kuondoka na ushindi Stamford Bridge kwa mechi 13. Sir alex Ferguso ameshinda dhidi ya Carlo Ancelotti mechi moja tu na kufungwa mechi tatu kati ya mechi nne walizokutana.

No comments:

Post a Comment