Sunday, November 29, 2009

ITAI NJE BBA REVOLUTION

Hatimae wamebaki washiriki watano katika jumba la Big Brother baada ya Itai almaaruf (Ma man) kutolewa nje ya jumba hilo,washiriki wote waliobakia watahitaji kupigiwa kura ili kupata mtu mmoja wa kutoka jumapili ijayo, na kura zinazoweza kumbakisha mtu kwenye jumba hilo ni zile zinazopigwa kutoka katika nchi ya msiriki husika, kwa hio mshiriki atakae pata kura nyingi kutoka nchini kwake atakua amebakia, na atakaepata kura kidogo kutoka nchini kwake basi itakuwa wenyewe ndio wamemtoa.

No comments:

Post a Comment