Monday, November 9, 2009

ELIZABETH NJE BIG BROTHER

Hatimae mshiriki pekee kutoka Tanzania ndani ya jumba la Big Borother Elizabeth ameondoka rasmin katika jumba hilo baada ya kukosa kura za kuweza kumbakisha.
Elizabeth ameaga rasmin shindano hilo lenye donge nono la zawadi huku akiwaacha marafiki zake Emma na Kevin wakiwa katika vilio na huzuni.Pia nae Elizabeth alipokua aakihojiwa kwa mara ya mwisho na IK juu ya nini amejifunza ndani ya jumba hilo Elizabeth alisema amejifunza kupata marafiki wazuri katika muda mchache.

No comments:

Post a Comment