Tuesday, September 29, 2009


Mjane Maria Nyerere akiwaonesha waandishi wa habari cheti pamoja na medali alizotunukiwa na Rais wa Baraza Kuu la Usalama la Umoja wa Mataifa ( UNSC ) father Miguel D'Escoto Brokmann New York hivi karibuni.Tunzo hizo zilitolewa kwa kutambua mchango wa Mwalim Nyerere katika harakati za kupigania uhuru wa bara la Afrika. Kushoto ni mwanawe Makongoro Nyerere

No comments:

Post a Comment