Wednesday, March 3, 2010

KAMA SI MAPINDUZI YA 64

1. Yasingetokea mauwaji yalioyotokea

2. Watu wasingenyang'anywa mali zao

3. Wanawake wasingeolewa kwa nguvu

4. Zanzibar isingekuwa mkowa wa Tnganyika

5. Uislamu usingeathirika

6. Mila za Kizanzibari zisingepotea

7. Kiswahili cha Unguja kisingepotea

8. Umaskini, Maradhi, ujinga uliyopo sasa usingekuwepo

9. Chuki ziliopo hivi zisinegekuwepo

10. Kuhama na kutokuamini mungu baina baadhi ya Wanzibari kusingekuwepo

11. Chuki dhidi ya Waarabu isingekuwepo

12. Alaka baina ya Unguja na nchi za Kiarabu/Ki-Islamu ingezidi

13. Misaada kutoka nje, hasa nchi za kiarabu na za Ki-Islamu, inegezidi

14. Makanisa yasingezidi Zanzibar

15. Missionaries wasingethubutu kuhujumu Uislamu Zanzibar

16. U-zanzibari ungepata nguvu na heshima duniani

17. Historia ya Unguja isingeparaganywa

18. Wazanzibari wasomi wangebaki Zanzibar kwa manufaa ya nchi yao

19. Makoministi wakieneyji wangetoweka

20. Uwongo na uzushi unaotapakzwa hivi sasa dhidi na Mashekhe na viongozi wetu usingekuwepo

No comments:

Post a Comment