Monday, December 28, 2009

MVUA ZAATHIRI MKOANI MOROGORO

Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika wilaya ya Kilosa zimealeta athari katika kijiji cha Mbumi na Kasiki hivyo kusababisha familia nyingi huyahama makaazi yao kufuatia nyumba zao kujaa maji

No comments:

Post a Comment