Sunday, December 20, 2009

KARUME AWATUNUKU VYETI WANAFUNZI WA CHUO KIKUU CHA FEDHA CHWAKA

Bimaka Abdallah Mohammed akipokea shahada ya kwanza kutoka kwa Rais Amani Karume katika mahafali ya sita ya chuo cha uongozi wa fedha Chwaka
Philemon Pius Mechel akipokea shahada ya kwanza kutoka kwa Rais wa Amani Karume katika mahafali ya sita ya chuo cha uongozi wa fedha Chwaka
Wahitimu wa mahafali ya sita katika chuo cha uongozi wa fedha Chwaka baada ya kutunukiwa shahada zao za kwanza jana.

No comments:

Post a Comment