Monday, October 12, 2009

WAPELEKA MALALAMIKO YAO KWA ALLAH

Baadhi ya Kinamama wenye nyumba eneo la Kipawa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere wakiomba dua kupinga kulipwa fidia kwa kutumia sheria ya zamani na kutaka itumike sheria ya sasa kwani gharama za vifaa vya ujenzi zimepanda.Wenye nyumba hao walitakiwa kuhama eneo hilo mwaka 1997 Aprili,Jana walikutana kwa nia ya kutafuta taratibu za kisheria kuhusiana na suala hilo

No comments:

Post a Comment