Thursday, October 22, 2009

JAMBAZI ASALI PAMOJA NA MTU ALIYETAKA KUMUIBIA

Jamaa mmmoja nchini Marekani alivamia duka la fedha akiwa na bunduki na kumwekea bunduki kichwani mfanyakazi wa duka hilo kwa nia ya kupora fedha lakini aliwashangaza watu alipobadili uamuzi wake ghafla na kupiga magoti chini na kuanza kumuomba msamaha.

No comments:

Post a Comment