Tuesday, September 29, 2009

TAIFA QUEENS WATOKA SARE NA AFRIKA KUSINI


Mchezaji wa Afrika kusini Mampho Tsotetsi akiangalia ni nani wa kumpasia mpira huku mchezaji wa Taifa Queens Jackline Sakozi akimkaba kwa makini ili asije akaleta madhara. mechi hiyo ilimalizika kwa sare ya 31-31.

No comments:

Post a Comment