Fanya Fujo Uone wakihakikisha usalama unapatikana katika maandamano hayo
Wananchi wakisikiliza kwa makini hotuba baada ya maandamanoChama cha wananchi CUF leo wamelitikisha jiji la Dar kwa kufanya maandamano ya aina yake, maandamano hayo yalikua na lengo la kudai tume huru na ya haki katika uchaguzi mkuu nchini,maandamano hayo yalianzia Buguruni na kumalikia katika viwanja vya kidongo chekundu

No comments:
Post a Comment