

Picha za hapo juu zinaonesha jinsi ya watu walivyojaza mikojo katika masinki ya kunawia mikono huku wakiacha vyoo ambavyo vimejengwa maalum kwa huduma hio,tukio hili lilitokea katika uwanja mpya wa taifa wakati wa mechi ya Simba na Sanga mwishoni mwa wiki iliopita na hii inajidhihirishia wazi kwamba wa punda hapandi farasi
No comments:
Post a Comment