
Matokeo mengine ni kama ifuatavyo
Milan 0-1 Zurich
Bayern 0 - 0 Juventus
Bordeaux 1 - 0 Maccabi Haifa
Real Madrid 3 - 0 Marseille
Porto 2 - 0 Atletico Madrid
APOEL Nicosia 0 - 1 Chelsea
CSKA Moscow 2 - 1 Besiktas Soma Zaidi ...
Hatimae kilio cha wanafunzi wa skuli ya kibasila kupitia maandamano waliyoyafanya chasikilizwa. serikali imekubali kukaa chini na kuzungumza na wanafunzi hao na kukubaliana kuweka matuta eneo la skuli hio kwa kupunguza ajali za mara kwa mara zinazotokea skulini hapo. sasa mimi hapa ndio hujiuliza, kumbe kama kusingekua na maandamano wanafunzi hao wangeendelea kuuwawa kwa ajali kila siku,
mhhh nakosa jibu
Soma Zaidi ...