




Wanafunzi hao wamenzisha maandamo hayo ambayo hayakua na kibali kutoka kwa wakuu wa skuli, jeshi la polisi wala kutoka kwa mkuu wa wilaya.
Wanafunzi hao walidai kwamba hawataondoka sehemu hio hadi pale wahusika wakuu watakapo kuja na kuzungumza nao ili kutoa tamko rasmi la kuwekewa alama za barabarani katika eneo hilo, barabara hio haina alama yeyote ya na hivo kusababisha vifo vya kila siku kwa wanafunzi wa skuli hio.
No comments:
Post a Comment