OMMYKISS
Karibu leo na kila siku
Monday, April 5, 2010
KAZI NI KAZI TU
Mfanya biashara huyu wa rikwaa akiwa tayari kushusha mzigo apahali ambapo alitakiwa kuupeleka, hii ndio njia yake ya kujipatika kipato cha kumuwezesha kuishi, na hapa inasemekana ni maeneo ya Msikiti Barza ila sina uhakika kama ndipo.
.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment