OMMYKISS
Karibu leo na kila siku
Saturday, February 6, 2010
UPEPO MKALI WAATHIRI MORO
Upepo mkali ulioambatana na mvua kubwa umeleta athari kwa wakaazi wa maeneo ya Morogoro Mjini, upepo huo ulitokea jana mnamo majira ya saa nane mchana umeangusha miti na kuharibu nyumba pamoja na mali nyengine za wakaazi wa maeneo hayo.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment