
Hatua hiyo iliyochukuliwa na serikali imelalamikiwa na wafuasi wengi wa makanisa hayo ambao wamehisi kwamba viongozi walitakiwa kupiga marufuku kelele na sio kufunga makanisa.
Kumejitokeza jijini Kinshasa miaka ya hivi karibuni mfumuko wa makanisa ya kujitegemea ambayo yanajiita makanisa ya muamko ama " wake up churches." Taarifa kamili na mwandishi wetu Saleh Mwanamilongo.
No comments:
Post a Comment